Makala

Kutoka kwenye kalamu za watumishi mbalimbali wa Bwana, mahali hapa pamekusudiwa kuwa na mkusanyiko wa Mawazo, Mafunzo na Jumbe mbalimbali kutoka wachungaji, wazee, watumishi na washiriki kutoka ndani na nje ya konferensi yetu.

Baadhi ya Sifa Zitakazofanya Ndoa Yako Kuwa ya Furaha

Ndoa ni taasisi nzuri sana. Hakuna ndoa kamilifu ulimwenguni, lakini, kwa msaada wa Mungu, ndoa inaweza kuwa yenye kuridhisha sana hivi kwamba kunaweza kuwa na ndoa iliyokaribia kuwa kamilifu. 1.KuheshimianaBiblia inatuambia kwamba kila mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu. Katika Zaburi 139:14 (KJV), Mtunga Zaburi alisema “Nitakusifu; kwa maana nimeumbwa kwa jinsi ya kutisha na…

Read MoreLong right arrow

Wakati wa Kujaribiwa Upo Mbele Yetu

Wakristo wanapaswa kujiandaa kwa ajili ya yale ambayo yatatokea hivi karibuni juu ya ulimwengu kama mshangao mkubwa, na maandalizi haya wanapaswa kufanya kwa kujifunza neno la Mungu kwa bidii na kujitahidi kupatanisha maisha yao na maagizo yake……MUNGU anatoa wito wa kuwepo uamsho na matengenezo. PK 626 Bwana anawaita watu wake wote kuboresha uwezo ambao amewapa.…

Read MoreLong right arrow

Tujiandae Kwa Ajili ya Dhiki iliyo Mbele Yetu

NENO la BWANA linasema;”Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.”Mathayo 10:22 “Hakuna ulazima wa kufikiri kwamba hatuwezi kuvumilia mateso; itabidi tupitie nyakati za kutisha. Mateso ya Waprotestanti kwa Urumi, ambayo kwayo dini ya Yesu Kristo ilikuwa karibu kuangamizwa, yatakuwa zaidi ya kushindana wakati Uprotestanti…

Read MoreLong right arrow