Makala

Kutoka kwenye kalamu za watumishi mbalimbali wa Bwana, mahali hapa pamekusudiwa kuwa na mkusanyiko wa Mawazo, Mafunzo na Jumbe mbalimbali kutoka wachungaji, wazee, watumishi na washiriki kutoka ndani na nje ya konferensi yetu.

Nitakwenda – Sehemu ya Kwanza

Utangulizi: BWANA anasema:“…… Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.Basi,enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.“Mathayo 28:18-20 Lilikuwa ni kusudi la Mwokozi kwamba baada ya Yeye kupaa mbinguni ili kuwa…

Read MoreLong right arrow

Baadhi ya Sifa Zitakazofanya Ndoa Yako Kuwa ya Furaha

Ndoa ni taasisi nzuri sana. Hakuna ndoa kamilifu ulimwenguni, lakini, kwa msaada wa Mungu, ndoa inaweza kuwa yenye kuridhisha sana hivi kwamba kunaweza kuwa na ndoa iliyokaribia kuwa kamilifu. 1.KuheshimianaBiblia inatuambia kwamba kila mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu. Katika Zaburi 139:14 (KJV), Mtunga Zaburi alisema “Nitakusifu; kwa maana nimeumbwa kwa jinsi ya kutisha na…

Read MoreLong right arrow

Wakati wa Kujaribiwa Upo Mbele Yetu

Wakristo wanapaswa kujiandaa kwa ajili ya yale ambayo yatatokea hivi karibuni juu ya ulimwengu kama mshangao mkubwa, na maandalizi haya wanapaswa kufanya kwa kujifunza neno la Mungu kwa bidii na kujitahidi kupatanisha maisha yao na maagizo yake……MUNGU anatoa wito wa kuwepo uamsho na matengenezo. PK 626 Bwana anawaita watu wake wote kuboresha uwezo ambao amewapa.…

Read MoreLong right arrow